Bitcoin ni mfumo mpya wa kifedha ambao tunaweza

kuuita ni mfumo wa kidigital kwani haina hii ya fedha au

sarafu huwezi kuzishika kama zilivo pesa za kawaida na pia

hata katika utumaji wake baina ya mtu mmoja na

mwingine hufanyika kwa njia ya mtandao tu.

-Bitcoin ni pesa ya kwanza ya kidigitali au cryptocurrency

ya kwanza duniani iliyogunduliwa au kutengezwa

mwaka 2009.

-Sarafu hii au fedha hii ya kimtandao ipo kwenye

group la pesa linaloitwa Cryptocurrency.